Nyumba inapangiswa,
HERI
YA MWAKA MPYA 2013. Nyumba inapangishwa
Kinyerezi na leo nimependa kuaatch picha ya hiyo nyumba find attched
photo. Ipo kinyerezi, four bed rooms, big sitting room, dining,
kitchen, stores na special place for refrigerator & frezer. Ina eneo
kubwa la nje kama eka moja hiv with fance na get. Ipo karibu sana na
bararara kuu iendayo mjini(City centre) kupitia barabara ya majumba sita
au hata tabata segerea. Kwahiyo basi kama una rafiki, ndugu yako, jamaa
wa karibu, makampuni ya serikali na hata binafsi, au hata wewe
mwenyewe.. anayetafuta nyumba ya kushi. Wasiliana na namba hizi kwa
maelezo zaidi pamoja na bei 0713275538 au 0787275538 au 0767 067739
No comments:
Post a Comment